Uncategorized

Historia fupi ya maisha ya Alikiba [ MAKALA ]


Welcome back, It’s a brand new day and we are happy to bring you a brand new hit song Listen/Download Audio Mp3 And Video Mp4 . Enjoy! Explore our wide collection of genres From catchy pop songs to soulful R&B beats, and from hard-hitting hip-hop beats to catchy folk songs, our genre page offers a variety of musical styles to suit every taste. Djstarboi.com Is Number One Website that give you all trending Entertainment News, New Music and New Videos, New Movies, New Tv series, Download Bongo Fleva Mpya, Nyimbo Mpya 2022, Nyimbo Mpya 2023, Zuchu Nyimbo Mpya, Diamond Platnumz Nyimbo Mpya 2023, Download Kaswida Mpya, and Many more.

Historia fupi ya maisha ya Alikiba [ MAKALA ]

Ali Saleh Kiba (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Ali Kiba; pia:King Kiba; alizaliwa 1986) ni mwanamuziki wa Tanzania, mwimbaji na mtunzi wa nyimbo chini ya lebo ya Rockstar4000.

Ali Kiba, Ni mtoto wa kwanza kuzaliwa katika familia ya watoto wanne, ambaye mdogo wake pia ni mwanamuziki wa Kitanzania.

Ana vipaji vilivyo tofauti na wasanii wenzake, hivyo amejikita sehemu nyingine kwa kusajiliwa na Coastal Union kucheza mpira wa miguu kwa msimu wa 2018/2019 wa Vodacom Premier League.


Mwaka 2011, Ali Kiba alichaguliwa kama “msanii wa kwanza wa Afrika Mashariki” – Tanzania, Kenya na Uganda. Kwa mwaka 2015 ameshinda tuzo tano za Kili awards.

Tarehe 20 Mei 2016, kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na muziki “Sony Music Entertainment” ilitangaza kumsainisha mkataba wa kufanya kazi na Ali Kiba.

Share On:

TAGS:



CLICK HERE TO PROMOTE YOUR MUSIC/VIDEO
Trending Now


0 Responses

Leave a Reply